TANZANIA BUREAU OF STANDARDS(TBS)
e-Services

Chemistry Laboratory

<h2>1.Maabara ya Kemia</h2> <p>Maabara ya Kemia inatoa huduma zifufatazo:</p> <p>a.Upimaji wa kemikali, bidhaa shirikishi na sampuli za mazingira;</p> <p>b.Mafunzo katika upimaji wa bidhaa yanayohusiana na kemikali na mifumo ya usimamizi wa ubora ya maabara.</p> <p>c.Kazi ya utafiti wa mazingira kwa ushirikiano</p> <p>d.Ushauri kwa wenye viwanda.</p> <p>e.Uratibu wa Mpango wa Kupima ustadi wa Tanzania (TPTS)</p> <p>f.Kufanya upimaji wa Ustadi wa chumvi ya kula ngazi ya kitaifa na EAC;</p> <p>g.Kufanya Mpango wa kupima Ustadi wa maji ya kunywa, ngazi ya kitaifa</p> <p>h.Uratibu wa mpango wa kupima ustadi SADC; na</p> <p>i.Ufuatiliaji wa ubora wa hewa</p>



Settings