TANZANIA BUREAU OF STANDARDS(TBS)
e-Services
Upimaji

Shirika la viwango Tanzania (TBS) ina nyumba ya upimaji bora inayopima sampuli mbalimbali za bidhaa.Nyumba ya upimaji ilianzishwa mwaka 1982 kwa ajili ya:

a)Kuwasaidia watengenezaji kuongeza ubora wa bidhaa zao

b)Kutoa nyenzo kwa ajili ya upimaji wa bidhaa na kuhakikisha bidhaa inafaa kwa matumizi yaliyokusudiwa

c)Kuhakiki ubora wa bidhaa kabla ya kusafirishwa nje ya nchi na kabla ya kuingizwa nchini

Nyumba ya upimaji ya TBS pia hutoa nyenzo za upimaji haraka, sahihi na siri kwa ajili ya upimaji wa bidhaa,ushauri wa kiufundi na maelekezo kuhusu njia za upimaji na mafunzo ya maabara kwa watumishi

 

Confirms That Products Meet Estsblished Standards,Ensuring Consumer Safety And Strenghening Market Confidence



Settings