Shirika la Viwango Tanzania (@tbs_viwango ) limeshinda Tuzo ya Taasisi bora ya Udhibiti kwa mwaka 2025 (Best Regulatory Agency 2025) katika Tuzo za Ubunifu wa Sekta ya Umma kwa mwaka 2025.
Mbio za Viwango Marathon zinatarajiwa kufanyika tarehe 23 Mei 2026 katika viwanja vya Leaders Club, Dar es Salaam. Mbio hizi zimeandaliwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya shirika hilo.
Instagram
TBS Director General, Dr. Ashura Katunzi, together with TBS Engineers, commemorating Engineers’ Day 2025 at the Annual Engineers’ Conference.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Dkt. Ashura Katunzi, akiwa kwenye picha ya pamoja na Wahandisi wa TBS katika Maadhimisho ya Siku ya Wahandisi 2025.
Ukaguzi na Utekelezaji unahusisha ufuatiliaji na kuhamasisha uzingatiaji wa masharti ya kisheria, kanuni na viwango, pamoja na kuchukua hatua za utekelezaji ambazo ni sehemu muhimu katika kuzuia kutokuzingatia na kuthibitisha kuwa mahitaji ya udhibiti yanatekelezwa kwa ufanisi na kwa tija.
Kampuni Zilizopata Uthibitisho
wa Mfumo wa Usimamizi