Announcements

Posted On: Jun 04, 2021


MAFUNZO KUHUSU SUMUKUVU KWENYE MAHINDI NA NAFAKA NYINGINE KWA WASAFIRISHAJI NA MAWAKALA WA FORODHA

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linapenda kuwafahamisha wafanyabiashara ambao ni wasafirishaji na mawakala wa forodha katika mipaka ya Horohoro, Holili na Namanga kuwa limeandaa mafunzo kuhusu sumukuvu kwenye mahindi na nafaka nyingine. Kwa maelezo zaidi fungua kiambatanisho kifuatacho:

sumukuvu